Mkuu APo kwenye ubao mbona Sio Mamelodi na yangaYANGA MJIFUNZE HAPA KIDOGO
View attachment 2954894View attachment 2954895
Kwani amja mzoea siku hizi mbona hatuna pressure nae ni kawaida yake uyuJmn mzize anakosaje goli pale
Uliwahi kumuita HaalandMzize Bure kabisa
Refa anapigwa mtungo wa tako huyoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio dhambi😂😂Daaaaaaah mzizeeeeeeee dah Yanga mpira wake hadi raha kuangalia aisee Japo mimk Simba
Jamaa ni majangaNadhani mtakuwa mmeelewa kwanini Kocha alimuweka kwenye mbao Clement Saido Mzize