Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Possession ya mpira ni 73.1% Kwa Mamelodi na 26.9% kwa Wydad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UPepo ukoje kwa ujumlaYa leo mpaka Halftime Mamelod 1- 0 wydad
Na 376 pia wanaonesha quality mbovu kishenzTutafanyaje sasa
Nimecheki Rwanda hawaonyeshi,kidogo wao wana quality nzuri
Uwanja mzuri saanYeah
Walikuja na mentality ya kupaki basi na kuchelewesha mudaHT
Mamelodi wanamiliki mpira kwa asilimia karibia themanini, wamepiga mashuti matano, goli moja.
Wydad hajajaribu shuti lolote, sio kulenga goli wala kubutua, hana kona hata moja, half nzima wamefanya kazi ya kukaba pekee.
Wakipata la pili shughuli imeisha.Walikuja na mentality ya kupaki basi na kuchelewesha muda
Zilipoongezwa dakika ikawadiscourage
Kikubwa Mamelodi wasiruhusu goli la ugenini
Wajitahidi wapate goli la pili
Masandawana njoo utoe mwongozo hapaJamani kuuliza sio ujinga huu uwanja wanaochezea fainali unamilikiwa na mamelod
Hata la kutolenga goli, hana.wydad hajalenga goli hata mara moja
Mamelodi wakikomaa watachukua naona waarabu walianza kuleta mzaha ila najua wote wameenda kujipanga ngoja tuone kipindi cha piliU
UPepo ukoje kwa ujumla
KBC = TBC270 KBC
Jao quality ya picha ni mbovuuuu
Na miye naomba hivyo tuWakipata la pili shughuli imeisha.
AahaaaaaKBC = TBC
Maninaaa tanescoooo😠😠😠😠😠😠
Ndoivo hao waydad wao waendelee na mzaha tu waoneWakipata la pili shughuli imeisha.
Kwa ile Yanga iliyocheza juzi, Sioni hivi vilabu viwili vikitoboa.
Naona wamerudisha 🤠! Kila la kheri MamelodiMkiambiwa mhamie Dodoma hamtaki mnasema huku ni Jangwani, Dodoma Ni kama New york umeme huwa haukatiki Hovyo
Wasauzi mpira wanalazimishwa hawapendiWamengia bure walipost kwenye ukurasa wao wa instagram