Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanashambulia kama yangaMamelod wameamka kidogo
Ikiisha hivi nani bingwa?Wydad wanapoteza muda hasa kupitia kipa wao
Why umeikimbia supu ya dezoo?🤠🤠😂! Wee Mie nipo Nyakibimbirii hukuu jangwani hata sipajui kwanza 🤠
Atakwambia amekuja kumsoma WAC kwa ajili ya CAF CLNimemuona Try Again akiwa jukwaa kuu
wydadIkiisha hivi nani bingwa?
Kabisa naona wanaleta masiharaSundowns hizi nafasi wanazochezea watajutia baadae
Matokeo inabidi yaweje ili awe bingwa?Wydad
Game nzuri sanaLeo kunapigwa mchezo wa Fainali ya African Football League mkondo wa pili.
Ni Mamelodi Sundowns Vs Wydad Athletic Club saa 10:00 jioni katika dimba la Loftus Versfeld jijini Pretoria.
Katika mkondo wa kwanza Wydad alishinda 2-1.
Leo kazi ni moja tu kwa Mamelodi kuibuka na ushindi na kutwaa ndoo ya kwanza ya mashindano hayo mapya barani Afrika.
Kwa mchezo huu wa mamelody kuna kila dalili ndoo kwenda wydadKabisa Wafanye warudishe goli mapema
Ashinde kwa idadi yoyote ya magoli sio droo.mechi ya kwanza alifungwa 2 kwa 1.Matokeo inabidi yaweje ili awe bingwa?
Halafu kipa wa Wydad ni pacha ake Ayoub wa Simba sc, wapigeni tano hao waarabu 😂😂Wanashambulia kama yanga
Kwa mchezo huu wa mamelody kuna kila dalili ndoo kwenda wydad
Yeahhh afu naona wanapoteza muda hovyo hovyo tuKwa mchezo huu wa mamelody kuna kila dalili ndoo kwenda wydad
Ni sahihi. Usiwawekee dhamana hawa ngozi nyeusi. Jamaa wanacheza kama Simba siku ile walipokula mkono wa nyani.Kwa mchezo huu wa mamelody kuna kila dalili ndoo kwenda wydad