mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Kwenye list ya CAF Kumi Bora kuna timu yoyote Africa Mashabiki kama sio Simba? Mkumbushe hiyo. Wao kila siku kuokoteza vichannel vya ajabu kuonyesha ni wakubwa. Hizi goli kuendelea kushabikia ni ulimbukeni wao. Walijibiwa kuifunga Simba goli hizo hakuwafanyi wao kuwa Wakubwa. (Rais wao).Sasa analazimisha kama sisi hatujawahi kumfunga 5 wakati kuna 6 pia
Sent using Jamii Forums mobile app