Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu mpigwe 5 akili zisha wayumba
Swali rahisi haijalishi kwanini karibu kila mechi mnaruhusu golf either kujifunga au kufungwa?Ulitazama goli lilifungwaje au ndiyo unaongea tu boss
Timu mbovu mbovu adhabu yake ni kono la nyani [emoji2772]
Kumbuka mmekula msimu huu huu achana na mambo ya zamaniKama vile hujawa kula mkono kwa oo hapo hapo kwa mchina. Uto mnapenda kujisahaulisha sana.
Simba= jamhuri, kmc,jktJamhuri huwezi Linganisha na JKU
Jamhuri = Zalani
Kwani tatizo ni Nini? Hivi Yanga asingekuwa vizuri kwa Sasa Kuna timu ya kuizidi ubora Simba hapa Tanzania?Katika maisha kuna kupanda na kushuka,low moment na prime/ perfect moment, kwa bahati mbaya perfect moment hazidumu mara nyingi,so sishangai simba kupitia haya,ipo siku itakuwa history.
Kwahiyoo!??Yanga,wote wamekimbia hapa,hiyo jamhuri ni ya 13 kati ya 16 league kuu zanzibar, JKU inaongoza league so huwezi fananisha kiivyo.
Naona unatueleza uliyetazama peke Yako... EndeleaUkiona man of the match ni beki au kipa ujue hiyo timu ilikua ina kazi ya kuokoa
Malizia sentence kwa Kusema ' mimi Utopolo na hayo ni Maoni Yangu'Ukiona man of the match ni beki au kipa ujue hiyo timu ilikua ina kazi ya kuokoa
Hata hiyo imeshakuwa ya zamani. Tangu mfunge 5-1 hamjacheza mechi nyingine yoyote!!??Kumbuka mmekula msimu huu huu achana na mambo ya zamani
Chamsingi bado ni msimu huuHata hiyo imeshakuwa ya zamani. Tangu mfunge 5-1 hamjacheza mechi nyingine yoyote!!