Kwa nini aachane na ya zamani kwani haikuwa uto? Hakuna kupangiana, wewe furahia ya msimu huu yeye afurahie ya zamani.Kumbuka mmekula msimu huu huu achana na mambo ya zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini aachane na ya zamani kwani haikuwa uto? Hakuna kupangiana, wewe furahia ya msimu huu yeye afurahie ya zamani.Kumbuka mmekula msimu huu huu achana na mambo ya zamani
Cha msingi zile sita mtungi (6-0) Ilifungwa Yanga hii hii.Chamsingi bado ni msimu huu
Kwa nini aachane na ya zamani kwani haikuwa uto? Hakuna kupangiana, wewe furahia ya msimu huu yeye afurahie ya zamani.
Kolo mnalazimisha furahaCha msingi zile sita mtungi (6-0) Ilifungwa Yanga hii hii.
Kwanini iwe msimu huu,kama unakumbushia zote ni historia,usisahau pia 5-0 na 6-0 ulizokunywa siyo unaangalia uliyoshinda ww tu historia haifutwi hivo kwa kujitoa ufahamuChamsingi bado ni msimu huu
Kwani aliyefungwa sio Yanga au jina ilikuwa tofautiKolo mnalazimisha furaha
Hivi utakubali leo urudi utotoni?
Tuangalie msimu huu yanga 5 simba 1
Kwanza katika hiyo match sidhani kama kuna mchezaji wa yanga ambaye alikuwepo bado mpaka sasa yupo the same to koloz
Hoja dhaifu sana hii.Kolo mnalazimisha furaha
Hivi utakubali leo urudi utotoni?
Tuangalie msimu huu yanga 5 simba 1
Kwanza katika hiyo match sidhani kama kuna mchezaji wa yanga ambaye alikuwepo bado mpaka sasa yupo the same to koloz
Yeah. Mchezaji wa JKU ametoka na mpira langoni mwa Simba akaukokota na kufumua shuti langoni mwake, akajifungaKama sio kujifunga lile goal la pili hawa paka wangekiona leo
Taja mchezaji ambaye kwenye hiyo match alikuwepo na mpaka leo yupo katika hizo team 2
Sitini wapi bhana 5-0 wamekula miaka ya karibu tuHoja dhaifu sana hii.
Nyie mnavyojiita mabingwa wa kihistoria huwa mnamaanisha kwenye hiyo historia hakuna makombe mliyochuku miaka ya sitini??
Kwani Yanga Waliwahi Kula 6 - 0 Kweli..?Kolo mnalazimisha furaha
Hivi utakubali leo urudi utotoni?
Tuangalie msimu huu yanga 5 simba 1
Kwanza katika hiyo match sidhani kama kuna mchezaji wa yanga ambaye alikuwepo bado mpaka sasa yupo the same to koloz
Ikiendelea kubishana na shabiki WA uto utapoteza uelekeo. Wanapambana Sana Yanga ionekane timu Bora kama Simba. Simba hatuhitaji kuwa kama wao ilishapita huko. Wasamehe bure Tu.
Mi nakutajia wote mechi tuliyowapiga 5-0Taja mchezaji ambaye kwenye hiyo match alikuwepo na mpaka leo yupo katika hizo team 2
Nadhani ni mmoja au wawili
Hatuishi kwa historia bali wakati uliopo
Yanga 5 simba1
Nimemuanzia kwenye wao kujiita mabingwa wa Kihistoria.
Sasa analazimisha kama sisi hatujawahi kumfunga 5 wakati kuna 6 piaIkiendelea kubishana na shabiki WA uto utapoteza uelekeo. Wanapambana Sana Yanga ionekane timu Bora kama Simba. Simba hatuhitaji kuwa kama wao ilishapita huko. Wasamehe bure Tu.
Wewe furahia 5-1 za msimu huu, yeye afurahie 6-0 za miaka ile. Ukikasirika ndio anafurahi zaidi 😁😁😁Kolo mnalazimisha furaha
Hivi utakubali leo urudi utotoni?
Tuangalie msimu huu yanga 5 simba 1
Kwanza katika hiyo match sidhani kama kuna mchezaji wa yanga ambaye alikuwepo bado mpaka sasa yupo the same to koloz
Wapo mpaka sasa?
5G mnayo kwenye rekodi hilo ndio muhimu. Kuita ni zamani hata wewe ni namna ya kujifariji ila rekodi haifutiki kuwa uto ilichabangwa 5 nunge.Kolo mnalazimisha furaha
Hivi utakubali leo urudi utotoni?
Tuangalie msimu huu yanga 5 simba 1
Kwanza katika hiyo match sidhani kama kuna mchezaji wa yanga ambaye alikuwepo bado mpaka sasa yupo the same to koloz
Mimi najua tumewafunga Yanga 5-0, 6-0 historia haifutiki, we furahia 5-1,,mi nafurahia 5-0 na 6-0 tatizo iko wapiWapo mpaka sasa?
Yanga 5 simba 1 msimu huu huu?
Kibadeni King Mputa aliyepiga kofia tatu mwaka 1977 Bado yupo hai.Wapo mpaka sasa?
Yanga 5 simba 1 msimu huu huu?