Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mwanzo wakati naangalia hii nilijua ni mazishi ya kiislamuWabovu wamekutana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo wakati naangalia hii nilijua ni mazishi ya kiislamuWabovu wamekutana
Umechagua kamechi kamoja ndiyo unakuja eti kukatolea mfano! Hivi si hata wenzako wanaweza kukushangaa.Beloiuzdad 3 - 0 Yanga
Simba 2 - 0 Wydad
Au mnazungumzia Mapinduzi Cup?
Baada ya JKU kuwazawadia magoli ili mwaka mpya ukae sawa kwa vijana wa Rage.Utopolo Mkiambiwa Timu Bora Ya Saba kwa Ubora Afrika na Wenye Mpira wao CAF muwe Munaelewa
We mjinga, JKU anaongoza ligi, siyo yule wa janaWabovu wamekutana
UmeonaeeeMohamed Mussa kwanini huyu Kijana Simba anakaa benchi?
Halafu kamechi kenyewe ni ka CAFUmechagua kamechi kamoja ndiyo unakuja eti kukatolea mfano! Hivi si hata wenzako wanaweza kukushangaa.
Halafu battle ya kuwania mpira imeshuka sana kwake, anapoteza mpiraHuyu Kapombe ajifunze, pasi zake nyingi zinakuwa intercepted
Wewe unafanya nini hapa? Huko wapo wawili tuYani jku ni timu ya kufunga mnashangilia hivo 🤣🤣🤣, mwakalobo bana
Kosa la Ayubu pale ni lipi? Hii ndo shida ya kukariri.Scars kipa la billion 3 tumeliona hakika
Nimekuuliza toka lini kwenye own goal kukawa na assist?Umeangalia goli lilivyoingia au umesimuliwa?
Vipi na simba na jamhuri nani mbovu? Maana wote yanga kawapa 5?Hivi wale wapemba waliokipiga na yanga jana na hawa jku wepi wakali
kwa mtazamo wangu naona jku wapo vizuri zaidi kuliko wa jana wale
Kazi ya kipa ni kudaka full stopKosa la Ayubu pale ni lipi? Hii ndo shida ya kukariri.
Hawa walifungwa na Singida magoli manne juzi na hakukuwa na goli la kujifunga.Wale wa jana wamemfunga mtu anayeshuka daraja basi kelele tupu,leo tunamfunga anayeongoza ligi
Sent using Jamii Forums mobile app