Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Profile ndio inacheza uwanjani kwa sasaHakuna namna hao wawili wanaweza kufanana, mmoja wapo (ngoma) ana profile kubwa sana kimpira kuliko huyo unaemuita the tank.
Kweli mbumbumbu hawaishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Profile ndio inacheza uwanjani kwa sasaHakuna namna hao wawili wanaweza kufanana, mmoja wapo (ngoma) ana profile kubwa sana kimpira kuliko huyo unaemuita the tank.
Utadhani mpira ni moto mguuni wanakwepaMakolo wameanza kulia
Beki zinakabia macho Miquisson hajiamini kila mpira akipata hawezi ku dribble anatoa back pass timu inacheza kama wachezaji wanaogopa kukaa na mpira matatizo yale yale makosa yale yale magoli yale yale..[emoji23][emoji23][emoji23]
Unatakiwa Kumalizia ' haya ni Maoni yangu Mimi wenu Utopolo'Makolo wameanza kulia
Beki zinakabia macho Miquisson hajiamini kila mpira akipata hawezi ku dribble anatoa back pass timu inacheza kama wachezaji wanaogopa kukaa na mpira matatizo yale yale makosa yale yale magoli yale yale..[emoji23][emoji23][emoji23]
Wale wa jana ni Zalani WatupuHivi wale wapemba waliokipiga na yanga jana na hawa jku wepi wakali
kwa mtazamo wangu naona jku wapo vizuri zaidi kuliko wa jana wale
Kwa simba na wale wa jana wana tofauti gani?Hivi wale wapemba waliokipiga na yanga jana na hawa jku wepi wakali
kwa mtazamo wangu naona jku wapo vizuri zaidi kuliko wa jana wale
TumefungwaNasikia kelele za uwanjani, nani kafungwa?