Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
simba ni finyofinyo walah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAPYA si ni wanne tu wengine wote wanaanzaga ....Ukiacha wachezaji wengi wa Simba walioanza hapo kuwa wanakaa sana benchi,ila quality yao ni ndogo sana,kuanzia ulinzi hadi kushambulia.
Kwa hiyo kifupi ni kwamba Gamondi hayupo serious na kazi yake?Hili nalo la kuuliza? Unashindwa kujua kuhusu u- serious wa jambo? Hii michuano Yanga hawajaonesha u- serious na ndio maana umeona jana wamepangwa hadi watoto na hukumuona Gamondi akiinuka kwenye benchi. Katulia tu tuli
Kuna watu ni wambea sana, hawaridhiki mpaka waonekane kuwa wao pia wanajua.Yaani hii nayo ni ya kuanzishia uzi, si ungecomment tu kule kwenye uzi unaoendelea?
Upo serious kweli kwamba ngoma na Aucho Ngoma ana profile kubwa?Hakuna namna hao wawili wanaweza kufanana, mmoja wapo (ngoma) ana profile kubwa sana kimpira kuliko huyo unaemuita the tank.
Umesema kweliBenchikha anasimama ni kama anahisi wachezaji wake hawamuelewi...
Hii lazima iwekwe kwenye kumbukumbu kabisa, kuwa UKUTA WA YERIKO umedondoka mapema tu, tar 1.Yaani hii nayo ni ya kuanzishia uzi, si ungecomment tu kule kwenye uzi unaoendelea?
Sijafananisha makocha bali nimelinganisha u-serious baina wa Yanga na Simba.Usifananishe Muuza matikiti Maji Wa Aires Buenos Argentina na Kocha Wa Boli
Unapitisha upepo alisikika msemaji wao[emoji23]Huu ukuta wa Yeriko Huwa lazima utobolewe Kila mechi[emoji848][emoji848]
Umbea ni dawa kabisa kama hujui. Tunawakumbusha tu, hatutaki lawama. Hakuna UKUTA hapo.Kuna watu ni wambea sana, hawaridhiki mpaka waonekane kuwa wao pia wanajua.
Mleta mada ni aina ya watu hao.
Wachezaji wengi wa Simba quality ndogo mno. Kuanzia Mwanuke, Chilunda, Duchu, na Kazi.Benchikha anasimama ni kama anahisi wachezaji wake hawamuelewi. Anachokitaka Benchikha hawa wachezaji hawafanyi kabisa na unaona waziwazi. Benchikha hapendi wachezaji kuwaza nyuma wapatapo mpira. Hapendi kupoozesha, hapendi kujisahau, hapendi back passes, hapendi kuchelewesha kutoa pasi, hapendi kupiga pass fyongo. Anataka total football, anataka wachezaji wafunguke wakiwa na mpira, waainue macho wakiwa na mpira. Kwa kifupi wachezaji wa Simba wana matatizo mengi kuliko maelezo. Ni kama hawana brain nzuri ya mpira au wana stress flani hivi.
Tuna wachezaji hovyo sana.Wanasubiri pasi wakiwa wamesimama na anayetoa pasi amesimama.Benchikha anasimama ni kama anahisi wachezaji wake hawamuelewi. Anachokitaka Benchikha hawa wachezaji hawafanyi kabisa na unaona waziwazi. Benchikha hapendi wachezaji kuwaza nyuma wapatapo mpira. Hapendi kupoozesha, hapendi kujisahau, hapendi back passes, hapendi kuchelewesha kutoa pasi, hapendi kupiga pass fyongo. Anataka total football, anataka wachezaji wafunguke wakiwa na mpira, waainue macho wakiwa na mpira. Kwa kifupi wachezaji wa Simba wana matatizo mengi kuliko maelezo. Ni kama hawana brain nzuri ya mpira au wana stress flani hivi.
Washiriki wote wanalitaka hili kombe.Sijafananisha makocha bali nimelinganisha u-serious baina wa Yanga na Simba. Simba wapo serious na haya mashindano, Benchikha analitaka kombe la Mapinduzi.