Hii nayo ni mechi ya kuanzisha uzi?Makolo hawana appetite na timu yao walikuaga wanaanzisha nyuzi usiku wa manane kama kuna mechii ila siku hizi wamepoteana mpaka nawasaidia kuanzisha nyuzi teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo ni mechi ya kuanzisha uzi?Makolo hawana appetite na timu yao walikuaga wanaanzisha nyuzi usiku wa manane kama kuna mechii ila siku hizi wamepoteana mpaka nawasaidia kuanzisha nyuzi teh
Kabisa. Hao wachezaji uliowataja ni upuuzi kabisa. Mara nyingi unaona Benchikha analalamika namna wanavyocheza.Wachezaji wengi wa Simba quality ndogo mno. Kuanzia Mwanuke, Chilunda, Duchu, na Kazi.
Hapo ndo tunaamini viongozi hawakusajili kwa makini zaidi ya kupiga dili tu.
Kutaka kombe kunaonekana kwa kuangalia kiwango cha seriousness.Washiriki wote wanalitaka hili kombe.
Kwahiyo Robertinho kaonewa?Benchikha anasimama ni kama anahisi wachezaji wake hawamuelewi. Anachokitaka Benchikha hawa wachezaji hawafanyi kabisa na unaona waziwazi. Benchikha hapendi wachezaji kuwaza nyuma wapatapo mpira. Hapendi kupoozesha, hapendi kujisahau, hapendi back passes, hapendi kuchelewesha kutoa pasi, hapendi kupiga pass fyongo. Anataka total football, anataka wachezaji wafunguke wakiwa na mpira, waainue macho wakiwa na mpira. Kwa kifupi wachezaji wa Simba wana matatizo mengi kuliko maelezo. Ni kama hawana brain nzuri ya mpira au wana stress flani hivi.
Hajaonewa ila alichangia baadhi ya wachezaji kuwa hivyo walivyo.Kwahiyo Robertinho kaonewa?
Alichangia kivipi?Hajaonewa ila alichangia baadhi ya wachezaji kuwa hivyo walivyo.
Wameanzisha Uzi kwa sababu mmeweka full mkoko na bado mnapata tabu kwa kijitimu Kama jku,Hii nayo ni mechi ya kuanzisha uzi?
Beloiuzdad 3 - 0 YangaTimu gani kila mechi lazima iruhusu goli! Yaani wanashindwa kujifunza kwa kaka yao Yanga! Jana kampiga mtu mkono, na bado aliondoka na clean sheet!!
Hahaha! huu mwaka uishe tu