FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

Kweli tens bahat ina nfs kubwa sn, we si unaona njia alopitia yanga hd kufika fainali. Ni nyepesi sn pia shirikisho msimu huu haukua na timu ngumu. Lkn pia ukitoa bht yanga msimu huu wapo vzr sn yn kikosi imara kweli.
huo ni ushamba kama ni njia nyepesi kapita simba kuanzia hatua za mwanzo mpaka kwenye makundi lakini ndio hivyo timu bovu
 
dah! Hadi moyo unauma sana wakuu

Jasho limejaa, pressure inapanda naisikia, hamu ya kula inakataa, kichwa cha moto, kwenye kiti nimeshindwa kukaa, hasira nyingi, mapigo ya moyo yanaongezeka kwa kasi, tumbo linauma, joints za mwili zinauma, mwili unakosa nguvu,kila ninaemuona namuona ka ananikera. Nakaribia kufaaaaaaaaaaaa.....!!!


MSAADA PLEASE MAANA NAWEZA HATA KUFA KISA USHINDI WA YANGA
 
Wataniiiii

Sema hata mimi nimeamini kweli hii timu kibonde, yani wachezaji wao karibu wote ni wasauzi maana timu kubwa nyingi huwa zinasajili international players, ni kama timu ndogo za huku kwetu zinazoshuka daraja wachezaji wao karibia wote ni wabongo tu

Anyway tuendelee tu kuimba Marumo wameloa [emoji16][emoji16]
 
dah! Hadi moyo unauma sana wakuu

Jasho limejaa, pressure inapanda naisikia, hamu ya kula inakataa, kichwa cha moto, kwenye kiti nimeshindwa kukaa, hasira nyingi, mapigo ya moyo yanaongezeka kwa kasi, tumbo linauma, joints za mwili zinauma, mwili unakosa nguvu,kila ninaemuona namuona ka ananikera. Nakaribia kufaaaaaaaaaaaa.....!!!


MSAADA PLEASE MAANA NAWEZA HATA KUFA KISA USHINDI WA YANGA
CHUKUA SUMU
 
Hiyo mi Marumo ndo maaana inashuka daraja..timu inayohenyeshwa na Ihefu inawatoa jasho...ptuhhhhh
malumo ataonewa bure anacheza na bingwa wa ngao,bingwa wa ligi, bingwa ajae wa azam federation na shirikisho
 
Ikifika dakika ya 80 mbinye vinavyobinyika huko jamani...
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
dah! Hadi moyo unauma sana wakuu

Jasho limejaa, pressure inapanda naisikia, hamu ya kula inakataa, kichwa cha moto, kwenye kiti nimeshindwa kukaa, hasira nyingi, mapigo ya moyo yanaongezeka kwa kasi, tumbo linauma, joints za mwili zinauma, mwili unakosa nguvu,kila ninaemuona namuona ka ananikera. Nakaribia kufaaaaaaaaaaaa.....!!!


MSAADA PLEASE MAANA NAWEZA HATA KUFA KISA USHINDI WA YANGA
Aahaaaaaaa
 
Back
Top Bottom