Umekosea. Yeye amesema muya keep, nyinyi mumeyahifadhi.Sawa tumeyahifadhi maneno yako
Tatizo limeanzia hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea. Yeye amesema muya keep, nyinyi mumeyahifadhi.Sawa tumeyahifadhi maneno yako
Kumbe wewe ndiye sangoma wao , mtunza hirizi!Dada kwenye mpira wetu wa Bongo usitaje jina la Mungu kabisa
Sema hivi sie tukifungwa pale Lupasu lazima tuvunje viti!Sema mashabiki wa Yanga bhana daah, nyie mkitutania mko humble ila sisi tukiwatania tumevurugwa, haya bhana watani isiwe kesi ngoja niwaache Niendelee zangu kuwatania mashabiki wa Real Madrid huku
Tena mgao mara mbili.ushindi wa nje ya ardhi ya Tanzania unahesabika katika mgao wa mama ?
😄😄😄We mkuu noma
Kama nilivyotabiri, Ndivyo ilivyokuwa, Stay tuned kwa utabiri wa final...!Marumo 1 - 2 Yanga
Mayele
Mudathir
Chivavero
Ndio unaamka una raha sana[emoji23][emoji23][emoji23]Dah ndiyo naamka aisee ndiyo nakumbuka kumbe jana tumeshinda hahahhaa
Acha kabisaNdio unaamka una raha sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Uyo Simba alikuwa anacheza namba ngapi katika kikosi cha Yanga?Simba imechangia pakubwa kufika ilipo Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee bora umeuliza jmnUyo Simba alikuwa anacheza namba ngapi katika kikosi cha Yanga?
Offiside ni mpaka uvuke mstari wa Kati ndio inaanza hesabika kuwa umeotea, ila ukiwa kwenye upande wako hata ukiwa peke yako unaweza kupasiwa na ukaenda funga.Mbona kama offside
Alhamdulillah. Ahsante Mungu maana sio kwamba tulistahili ila ni kwa mapenzi yako.Ni siku ambayo hakuna alieifahamu lkn ilisubiliwa miaka na miaka tangu kuumbwa kwa dunia.
Ni siku ambayo kila Mtanzania ngependa iwe upande wetu. Ni siku ya kipekee ambayo haitakiwi kupotezwa.
Eeh Mwenyezi Mungu ijaalie Young Africans SC iweze kupata ushindi siku hii ya leo nyoyo na nafsi zetu viweze kufurahi. Eeh Mungu ibariki Young Africans SC. Ikawe siku njema tupate ushindi inshallah. 💚 💚 💛 💛 @yangasc1935 #DaimaMbeleNyumaMwiko
Hata mimi nimeshangaaUto walishindwaje kubaki CAF Champion wakaangukia shirikisho.