FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

YANGA ๐Ÿ’›๐Ÿ’š BINGWA
YANGA WANAPAMBANA KITAIFA
YANGA WANASHINDA KIMATAIFA
YANGA HAWAFI HAWAZIMII HAWAPOTEI
 
My dear leo umevurugwa sana na Yanga. Sali kunywa maji mengi lala.
Hahaha mimi wala sina shida na ushindi wenu ni utani tu tunafanya humu ila kuna watu wanacatch feelings

Mpira wetu wa Bongo haujihusishi na Mungu wengi wanalijua hili labda waamue tu kujitoa ufahamu

Na hapa sijasema kwamba ni Yanga kwa sababu mimi ni Simba no nimeongelea mpira wetu kwa ujumla bila kujali timu
 
Ni mara ya kwanza nakuona umevurugwa kiasi hiki...anyway..ugua pole
Sema mashabiki wa Yanga bhana daah, nyie mkitutania mko humble ila sisi tukiwatania tumevurugwa, haya bhana watani isiwe kesi ngoja niwaache Niendelee zangu kuwatania mashabiki wa Real Madrid huku
 
Sema mashabiki wa Yanga bhana daah, nyie mkitutania mko humble ila sisi tukiwatania tumevurugwa, haya bhana watani isiwe kesi ngoja niwaache Niendelee zangu kuwatania mashabiki wa Real Madrid huku
Wapelekee moto tu
 
Haha hamna mtani ni vile mashabiki wa yanga vitu vidogo mnapenda kujitilisha huruma na kujifanya humble, ndio maana mashabiki wa simba tunaonekana tuna midomo na kelele, kumbe na ninyi Siku mkibahatisha mnatunyanyasa kweli yani [emoji23][emoji23]
Unajua ninavyokuheshimu, plz naomba nisiendee kukuchoma choma moyo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Back
Top Bottom