mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Moyo unakuuma we koloHuu mwaka msipofika fainali msije mkadhani mtapata zari tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo unakuuma we koloHuu mwaka msipofika fainali msije mkadhani mtapata zari tena
Hamia Yanga mtani upate rahaaa😅Mtani Jack Palladino nakuzoom tu
Saaaaanaa wala hukoseiMoyo unakuuma we kolo
Mtani pokes maua yakoAisee asiyekubali kushindwa si mshindan nime hands up. Watani mmetisha.
Kwa Yanga hii na hakika wangeifunga Orlando ile mechi Simba tumecheza nao.
Yanga anacheza away kama yuko nyumbani. Simba tuna cha kujifunza. Away tunakua kama tuna mzigo wa nnya kwenye bukta. Rekodi zetu za away ni ushuzi mtupu.
Ss ni mwaka huu ndo amepata bht, japo miaka yote man city anakua bora lkn bht alikua hana.Mwaka ni WA Man City huu atamfunga Real Madrid goli zaidi ya 5.
Bora mninyonge tu🤔Hamia Yanga mtani upate rahaaa😅
Hahahaa! Hakuna namna Mkuu.Mayele anafilisi tu kibubu cha Mama yetu daaah [emoji849][emoji2960]
Malumo 2 yanga 1....
Yanga il
ipoje hii inashuka daraja halafu ije ichezee kuwania kombe hili?Hiyo mi Marumo ndo maaana inashuka daraja..timu inayohenyeshwa na Ihefu inawatoa jasho...ptuhhhhh
ushindi wa nje ya ardhi ya Tanzania unahesabika katika mgao wa mama ?Mayele anafilisi tu kibubu cha Mama yetu daaah [emoji849][emoji2960]
Tena unalipwa na ribaushindi wa nje ya ardhi ya Tanzania unahesabika katika mgao wa mama ?
Ujue nilijua ni kwangu tu Mtani. Huenda ana tatizo sio bure.ye34nbe kama tuna ugomvi binafsi ebu tukae chini kiutu uzima tujue tuna solve vipi
View attachment 2626060
Nikajua navyo ikandia Yanga mchizi ame catch kumbe hadi nyie mashabiki wa Yanga hali ni hiyo hiyoUjue nilijua ni kwangu tu Mtani. Huenda ana tatizo sio bure.
View attachment 2626076
Hahahaaa. Halafu kumbe ndo kawaida yake bana hadi wamemuanzishia uzi huko na kwenye uzi wenyewe kaendelea kugawa dislikes kama zote. 🤣🤣Nikajua navyo ikandia Yanga mchizi ame catch kumbe hadi nyie mashabiki wa Yanga hali ni hiyo hiyo
😀 😀 😀 😀 😀Picha tafadhali Mama ya huyo Utopolo atayekufa huku amebinuka [emoji2960]