Ohoo utamkosaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Muache mtani wangu augulie kwa amani.
Babu yako ana makengezaWatatoka sare! Nimeangalia kwa babu.
Hapa Shem darling....assume ni national team inacheza..πShemeji nakublock
Baba gani sasa muongo.Wewe katoto niheshimu babakoπ
Kombe tunalo hatuna?Agiza fanta passion, nitumie na LiPa namba
Tulia kula chuma hchoooo...SISI TUNAWAWAZA MAMELODI TUTAWAKABILI VIPI KWENYE FAINALI YA SUPA CUP NYIE MNATUAMBIA MAMBO ZA MARUMO...MAZAFAKA
Ah mie nilijua tuu mwananchi final anafikanhatari andaa jersey yako tarehe 28 tupo pale taifa. Ni green and yellowYanga inaua mtu leoπ mzabzab kama hujaona vile
Yaani I had no ideaπ€£Hapa ndio utajua umuhimu wa kuwa kama Lenie
Unakuwa huelewi be wala che.
Mambo kama haya yakitokea, unakuwa zako tu hapo na raha zako zingine.
Mpira anasa Carleen π€£π€£π€£
Nikae kwa utulivu nisubiri Halaand anishangazie madevu.
BTW hongereni bana Numbisa ingawa sijaitoa uvunguni mwa moyo ππ
Labda hujatii maagizo ya babaπππBaba gani sasa muongo.
Mwaka gani huo? Mnajitekenya na kuchekaSisi tulipita huko zamani mkuu
Kombe tunalo hiliKombe tunalo hatuna?
πππππ₯ππ
Hapa ndio utajua umuhimu wa kuwa kama Lenie
Unakuwa huelewi be wala che.
Mambo kama haya yakitokea, unakuwa zako tu hapo na raha zako zingine.
Mpira anasa Carleen π€£π€£π€£
Nikae kwa utulivu nisubiri Halaand anishangazie madevu.
BTW hongereni bana Numbisa ingawa sijaitoa uvunguni mwa moyo ππ