FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

Simba iamke kutokana na mafanikio ya Yanga, ila wakichukulia kawaida watapotezwa mazima.
 
SISI TUNAWAWAZA MAMELODI TUTAWAKABILI VIPI KWENYE FAINALI YA SUPA CUP NYIE MNATUAMBIA MAMBO ZA MARUMO...MAZAFAKA
Tulia kula chuma hchoooo...
IMG-20230430-WA0008.jpg


Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndio utajua umuhimu wa kuwa kama Lenie
Unakuwa huelewi be wala che.
Mambo kama haya yakitokea, unakuwa zako tu hapo na raha zako zingine.

Mpira anasa Carleen 🤣🤣🤣
Nikae kwa utulivu nisubiri Halaand anishangazie madevu.

BTW hongereni bana Numbisa ingawa sijaitoa uvunguni mwa moyo 😂😂
Yaani I had no idea🤣

Nasikia makelele tu huko nje
 
😂😂😂😂 wakishua leo utaambulia maumivu kila kona kama namuona Benzema akitupigia mtu za kutosha
Hapa ndio utajua umuhimu wa kuwa kama Lenie
Unakuwa huelewi be wala che.
Mambo kama haya yakitokea, unakuwa zako tu hapo na raha zako zingine.

Mpira anasa Carleen 🤣🤣🤣
Nikae kwa utulivu nisubiri Halaand anishangazie madevu.

BTW hongereni bana Numbisa ingawa sijaitoa uvunguni mwa moyo 😂😂
 
Back
Top Bottom