FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

FT: Marumo Gallants 1 - 2 Young Africans | CAF Confederation Cup 17.05.2023

Wale ni wachambuzi sio wachungaji kwa hiyo sio kazi yao kufanya maombi.

Ni kwasababu umeaminishwa kuwa mnachukiwa ila ukiwa unafatilia mwenyewe bila kupata dokezo kwa Manara utaona mazuri yao mengi wanayosema.

Angalia wakiisifia Yanga, Manara anasema wanajipendekeza wakisema negative anasema ni chuki. Hivi ungekuwa ni wewe hapo ungefanyaje?

Oruma leo kawamwagia sifa nyingi kabla ya mechi lakini hujaiona kwasababu wenye bifu nae hawajataka mjue.
Hata kama wakiiombea yanga Mungu hawezi kusikilizia maombi yao! Lakini nachojiuliza mimi why they are always negative! Negative negative!,!?

Ujue binadamu wa kawaida ambaye muda wote yupo negative inatakiwa achunguzwe kwa makini unakuwaje negative always mpaka unashindwa kustick kwenye taaluma yako na kujitoa ufahamu hili tu uendeleze ile attitude ya negativity!?

Ok fine tusahau yote ya nyumaya wachambuzi,hivi kwa mchambuzi mwenye akili timamu na mzoefu hivi ni kweli unaweza ukakurupuka na kutoa asilimia chini ya 20 kwa yanga kufuzu fainali baada ya mechi ya kwanza!? Inahitaji upumbavu mwingi sana kufanya hivi,

Suala la yanga kuchukiwa na wachambuz hilo lipo waz halihitaji mashabiki kuaminishwa wala nini kwani wenyewe tunaona ndio km hivi!
 
Nimejifungia ndani kwangu nikiwa mwenyewe huku mkono wangu wa kuume ukishikilia chupa la maji machungu. Nawaona! Nawaona! Nawaona!

Uwanja wote unalipuka lipu! lipu! lipu! Makolo mna cha kuzungumza hadi kufikia hatua hii?

Young African Forever
😁🙌

Chama la Wana, Wananchiiiiiiiii!
 
Mpira umenoga[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️Yanga yetu wozah[emoji169][emoji172]
 
FsefVr4aUAMyPag.jpg
 
Back
Top Bottom