Fountain of Youth
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,026
- 2,299
Vichaka vya kujificha wale jamaa vimefyekwa vyote sijui watajificha kwenye kichaka kipi tena🟡🟢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho iwe holiday[emoji23][emoji169][emoji172]kwan kunalo nen wawakilishi wa taifa wamefanya vyemaWoyooooooooooooo
Yanga kesho kuamka saa ngapi?
Kwani huwezi kufurahia ushindi wako bila kutusi wengine?Tuonane final, makolo chagueni timu yakushangilia tena
WANANCHIIIIII III IIIKila la kherii wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kwa sauti ya Bantu Lady Beeb
Kabisaaa na Evelyn Salt atakuwa coordinator3some zitakuepo????
Hii ndio Yanga. Tuzidi kujinenepea tu kwa kweli. 🤣🤣😂😂😂😂😂Nilikua nasubiri ushindi..wallahi YANGAAAAAA💛💚💛💚
Raha zipo kwenye msosi tu 😋Bado huzijui raha lakini
Kabla ya mechi mlisema yanga anafungwa 3 -0Mwisho wa siku mmepiga bomu mochwareeeeee...
Imeisha hiyooo
Hatuamki kesho Yanga wote, tunaletewa chai kitandani. Tutaamka wakati wa lunch...Woyooooooooooooo
Yanga kesho kuamka saa ngapi?
Daaa! 😂😂😂😂😂😂Refa kanogewa, kapokea pasi ya Yanga
Hakika..majirani waumie tararibu😂😂😂😂😂😂Hii ndio Yanga. Tuzidi kujinenepea tu kwa kweli. 🤣🤣