Firdaus9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,196
- 2,797
Tunalo na tunatamba nalo ππππKombe tunalo hatuna?
The citizenπππππ₯π₯ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunalo na tunatamba nalo ππππKombe tunalo hatuna?
The citizenπππππ₯π₯ππ
Hii timu ni Man City kabisaNyie hii Yanga iwe timu ya Taifa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]chuma cha pili ugenini
Hiyo misosi yenu inayopikwa na wali wa plastic?Raha zipo kwenye msosi tu π
Kivuumbbiii leeeoooo π€£π€£π€£Kula chuma hiyooo
Vile naangalia mpira leoBasi chukua yanguππππView attachment 2625606
Sijawahi kuwa mtabiri mimi..huo ni upumbavu..nilisema Yanga ikiruhusu kufungwa bao zote mbili itakua upuuzi..haiwezekani utoke kwenu na mbili ukafungwe zote tena na marumo duuhKabla ya mechi mlisema yanga anafungwa 3 -0
Sema weweeeπ€£π€£π€£π€£π€£Ooooh Mallumo sijui Malume hawafungwi kwao kiko wapiiiiiiiii[emoji1745]
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Mmhh huyu Evelyn Salt usimuamin sana...kwa itikadi zake anaweza akakugeuzia kibao akupelekee moto wewe na mishangazi yakooπππKabisaaa na Evelyn Salt atakuwa coordinator
Kuna makolo wanateseka.Tunalo na tunatamba nalo ππππ
Vyotd vinaenda pamoja mkuu. Mnaweza kua mna kikosi kizur lkn mkakosa bahati mf man city ambavyo hana bahati na uefakwenye kikosi kizuri hapo ndio umeongea kwenye bahati hakuna kitu kama hicho
Kwa lipi? Kwa kupiga timubovu?? ...hebu tulizeni akili π πHatuamki kesho Yanga wote, tunaletewa chai kitandani. Tutaamka wakati wa lunch...
Na madunduka wote wakikutana na Yanga wawaamkie πππππππ
Matokeo tafadhaliNipo soweto hapa kila la heri kwa marumo
Kivuumbbiii leeeoooo π€£π€£π€£
Naomba uipende Yanga kwanzaπππ
Me ntakupenda baada ya mechi
Aiseeee naomba kaka yetu umtafuteπππmaana atakua anapumulia mashine saiv