Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mo- day, hi mechi ya leo ni dedication kwa Mo- boss mkubwa, anayetoa fedha za usajili kwa Try-again na genge lake wakasajili wao wanaokoto magalasha yaaliyoachwa na timu zinazoshuka daraja , wanapiga cha juu na kututangazia wachezaji usiku wa manane[masharti ya mganga]Mashujaa Vs Simba SC | Lake Tanganyika Stadium | CRDB Confederation Cup | Aprili 9, 2024
Hii simba inatakiwa ibomolewe na ijegwe upyaMashujaa Vs Simba SC | Lake Tanganyika Stadium | CRDB Confederation Cup | Aprili 9, 2024
Ungeyasema haya kabla... Kicha cha kuficha maumivu...Tukifungwa hii mechi mi nitafurahi sana
Ndio alarm pekee ya kuamsha viongozi wazembe ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao.
Hata kuiangalia siiangalii, tufungwe tu
Uongozi wa Club unatufelisha sana, matokeo ya hapa tutayopata iwapo tutashinda yatawafanya wajisahau.Tunawawasha zakutosha hawa
Yaani muibomoe timu wakati Chama bado yupo?Hii simba inatakiwa ibomolewe na ijegwe upya
Hakuna wanachojifunza kila uchao yaani wachezaji wameshafika mwisho hawafundishiki hata akija pep gadiola kwa simba hii bado watapigwa nyingi tuu
Subiri April 20 kuna goli zaidi ya sabaa kutoka kwa watani zao yanga
Ww umetia nini zaidi ya kutia huruma huruma...hakuna wa kukuonea huruma huko...Hangover Kwani Kuna Kitu Mmefanya Zaidi Ya Kutia Aibu.
Mbona naona wapo kwenye 1st eleven?Aingie Chama na Kibu