Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Huyu mwarabu kacheza rafu yeye, kaumia yeye...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki wa kiarabu huwa hawapoi...Sio mchezo ila hili vibe la Watazamaji sio mchezo
teh teh teeeh, eti tukishinda zote,Tuki.
Waki.
.
Kazi ipo
Kwani wao hawataki kwenda robo?Mazembe wanacheza kama wamelipwa na Yanga.
Yatima kwa yatima, ngoma ngumu bado...Ngapi ngapi huko?
Nafasi yao ndogo, wangewaachia Mc algerKwani wao hawataki kwenda robo?
Ngapi ngapi huko
Ngapi ngapi huko ndugu yangu nipe update huku kigamboni wamenikatia umeme taneskoSasa tulie nini...nyie ndo mnahaha hamjui mshike kipi..mazembe amfunge huyo Mc au mc amfunge TP
Kumeanza kuchangamka, we njoo tu mwananguWanangu odds za mazembe izo
una chuki na wananchi mkuuNafasi yao ndogo, wangewaachia Mc alger
Nani kapata waarabu au? AfanalekiTuta
Hayo ni maoni yakoNafasi yao ndogo, wangewaachia Mc alger
Ngapi ngapi hukoKumeanza kuchangamka, we njoo tu mwanangu
Uto wachawi wale huwajui tuUchawi upo.
Hii TP mazembe ilifungwaje na uto
Tuta, mazembe wanagomaNgapi ngapi huko