princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hawa jamaa hata wakipita hawatofika mbali. Figisu mpira hawana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods Active Paw siku nyingine mruhusu watu wachache wenye uelewa kua wanatuandikia live thread.... Sasa huu mtambo umeandika lakini hakuna time to time updates.... Umepost utafikiri taarifa ya Mbowe au Slaa... bora live za @vicenzojrKundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo kuna mchezo muhimu sana.
MC Alger Vs TP Mazembe pale katika dimba la July 5, kuanzia Saa 4:00 Usiku kwa Saa za Afrika Mashariki.
Mchezo huu ni muhimu sana kwa hatima ya Yanga katika kusonga mbele.
Ikumbukwe MC Alger yupo nafasi ya pili akiwa na point 5 huku Mazembe akiwa na point 2 nafasi ya nne.
Matokeo ya leo yataleta athari kubwa kuelekea mchezo wa Al Hilal Vs Yanga hapo jumapili.
Azam Sports 1HD watakuwa live, wale wa kustream pitia hapa www.fawanews.com
😃😀😀😀😀😀Uto wachawi wale huwajui tu
Kama wanataka robo kwanini hawajashinda mechi hata moja hadi leo?Kwani wao hawataki kwenda robo?
Hapana mkuu, watani zangu hao, nawakubali.una chuki na wananchi mkuu
Ngapi ngapi huko?Hawa jamaa hata wakipita hawatofika mbali. Figisu mpira hawana
Thread unoMwenye link
Hawa mdebwedoImooooooo mazembe chaliiii
Ndio mkuu.Hayo ni maoni yako
Sisi hatuna shida nao huko mbele, wafanikishe jambo letu hatua ya makundi tuHawa jamaa hata wakipita hawatofika mbali. Figisu mpira hawana
Moja Hawa waarabu wamepata penalty beki wa Mazembe Mzembe sanaNgapi ngapi huko?
Tayar uko 🐸🐸MC Alger tuko pamojaView attachment 3197436