kamun
Member
- Dec 28, 2024
- 83
- 77
Kumbuka hii sio michuan ya NBCKila la kheri chama langu Tout Pouisant Mazembe🖤🖤 🤍🖤🖤 🐊 Daima Mbele Nyuma Mwiko 🤍🤍🤍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka hii sio michuan ya NBCKila la kheri chama langu Tout Pouisant Mazembe🖤🖤 🤍🖤🖤 🐊 Daima Mbele Nyuma Mwiko 🤍🤍🤍
Kwani al hilal hawakufika kweny anga la tz mpaka wakawatoboa 2 ?Wakifika tu kwenye anga la TZ shughuli Yao imeisha shika maneno yangu Hawa hawatoki
Nini kimetokea?Aposto…kuna muujiza huku
Achana na hesabu mixer propaganda tukutane mwezi wa 3 shika maneno yangu kwanza ibenge tarehe 12 anaweka kikosi b kashachukua milioni 100 zetuTupe hesabu mkuu
😀😃Kumbuka hii sio michuan ya NBC
Naunga mkono hojaKwa mkapa hawatoki kabisa mchawi mechi na Hilal
Mil 100 ambazo kumnunua kagoma kwa mil 30 mlishindwa mpaka mkafikia hatua ya kumlipa kwa mafungu kwa pesa za vikobaAchana na hesabu mixer propaganda tukutane mwezi wa 3 shika maneno yangu kwanza ibenge tarehe 12 anaweka kikosi b kashachukua milioni 100 zetu
Hata wakifunga 10 robo hawaendiKwani al hilal hawakufika kweny anga la tz mpaka wakawatoboa 2 ?
Achana na hao wewe mbona nakugonga Kila msimu kama unaweza njoo Tena mwanetuKwani al hilal hawakufika kweny anga la tz mpaka wakawatoboa 2 ?
YNini kimetokea?
kuna mlemavu anaitwa Yanga anataka kufuzu hatua ya Makundi😂Ayaya ayaya Nini kimetokea embu mpe maiki yenye sauti
KWa usaidizi wa kayoko na ndumba + sindano za kusisimuwa misuli sawaAchana na hao wewe mbona nakugonga Kila msimu kama unaweza njoo Tena mwanetu
Kule mbele kama hamna Muunganiko vileMc Alger wanafungika vzr t sema tp nao wazembe tu
Tukiweka utani pembeni, Mc Alger sio wakali, kwa fitina za kwa Mkapa, hawatatoka salama.
Uto mechi yenu ya Jumapili ni kama fainal kwenu
😀😀😀Haya muweke calculator betri kisha hesabu zianze upya