FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

Shuka la njano limeenda kwa Diarra
 
Tulisema tangu mwanzo kuhusu kocha hamkutusikia

Gamondi alitakiwa kubaki, sasa angalia huyu kocha anamuingiza dube kwa nafasi gani? Yaani hata wachezajj hawajui vizuri tunacheza vichekesho vitupu kwa kweli.

Nilitegemea Aucho aingie kati niliona kwenye sub yupo, Duke kachoka sana na huyu kibabage wa kumtoa na viboko juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…