Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WakomeWananchi walambishwa dudu la yuyu.....
Ha ha ha ha ha si mlitaka kucheza na malaika sasa vilio vya nini?Tulisema tangu mwanzo kuhusu kocha hamkutusikia
Gamondi alitakiwa kubaki, sasa angalia huyu kocha anamuingiza dube kwa nafasi gani? Yaani hata wachezajj hawajui vizuri tunacheza vichekesho vitupu kwa kweli.
Nilitegemea Aucho aingie kati niliona kwenye sub yupo, Duke kachoka sana na huyu kibabage wa kumtoa na viboko juu
Kama nilivyosemaNasikia huyo namba 7 anafunga hadi kwa ulimi
Soma UbaoInterlacustrine R
Yoav Gallant
Its Pancho
Labani og
ukikaidi utapigwa2
Tate Mkuu
ngara23
redio
MANG'OMBE..
..KIMOJA SWAAAAAFIII. CHA MIMBA. ALAMSIKI. 😂😂😂😂😂
Yule se.nge Hersi tulishamwambia unamfukuza gamondi utakunya baridi. Nadhani ameanza kuelewaIle klabu aliyoondoka imeanza kufanya vizuri kule South. Engineer kawahujumu hapa