OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tumecheza vzur bas tu bahati haikuwa upande wetuYumefungwa, lakini timu siidai.
Inaumiza sana mkuu viongozi ndiyo tatizo la anguko letu kwa sasaHa ha ha ha ha si mlitaka kucheza na malaika sasa vilio vya nini?
Alipanick naamini huko alipo sasa hivi anajutia uamuzi aliofanyaYule se.nge Hersi tulishamwambia unamvukuza gamondi utakunya baridi. Nadhani ameanza kuelewa
Leo tumefungwa midomo kwa kweliInterlacustrine R
Yoav Gallant
Its Pancho
Labani og
ukikaidi utapigwa2
Tate Mkuu
ngara23
redio
MANG'OMBE..
..KIMOJA SWAAAAAFIII. CHA MIMBA. ALAMSIKI. πππππ
Na utasema safarii hii,Tuna asilimia chini ya hamsini kufuzu robo, haya yote tumejitakia wenyewe. Usiku mwengine mrefu.......
Watu hawalioni hiloTumecheza vzur bas tu bahati haikuwa upande wetu
mpate vidonda vya tumbo mwaka huuTuna asilimia chini ya hamsini kufuzu robo, haya yote tumejitakia wenyewe. Usiku mwengine mrefu.......