Dube ni mfanyakazi hewaDube,aziz kii na kibabage wana hisa utopolonii
Sawa twenzetuPole kiongoz ndio mpr usilale mwaga uzi wa wekundu muda umefika
Silencio Brunoo 🤣🤣Silenciooooo
Watakuwa wamemuonea.... 'Udhaifu' wa Yanga ulifichuliwa na AzamHuyu kocha sijui kama anakula Christmas Tanzania
Shida ipo kwa uongozi niamini mimi mkuuHa ha ha mkuu niwaombe bado mapema sana kumjua chanzo cha tatizo tulieni mpk mtakapokubaliana nani ni tatizo maana wengine viongozi wengine wachezaji wazee, wengine kocha mnatuchanganya sana
Ulitabiri vyema sana.Kila la kheri MC Alger.
FT: MC Alger 2 vs 0 Dar Young Africans.
Mungu ibariki Afrika.
Kazi aliyotumwa Aziz Ki na Yanga ameshamaliza sasa ni muda wake wa kutumia hela alizochuma.Mobeto alaaniwe popote alipo
Ha ha ha sasa hivi bado wanajikaza kutotoa lawama ila siyo muda mrefu wataanza kelele ya kuhujumiwa, hersi atuachie timuYanga ikiwa ktk mateso, mie najisikia raha hatarii.
Haya mambo ndo nayo yataka mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]