WA KISHUA OG
Senior Member
- Nov 3, 2024
- 127
- 338
Jamvi la wageni.. walizidi mdomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki gharama. Waozee huko hukoSasa hapa tunazika au tunasafirisha usiku huu?
Hata mimi piaYanga ikiwa ktk mateso, mie najisikia raha hatarii.
Haya mambo ndo nayo yataka mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Azam ameirudisha heshima ya soka Tanzania. Jamaa wamevuliwa nguo na wakiketa mchezo ndio mwisho wao.Watakuwa wamemuonea.... 'Udhaifu' wa Yanga ulifichuliwa na Azam
Gusa achia tendweUnaona wachezaji 24!! Kashabikie tu rede.
Mbona alifungwa na Azam na Tabora.Shida ipo kwa uongozi niamini mimi mkuu
Gamondi hii game alikuwa hafungwi
Gusa achia twendeOoh bora ujisaidie ulale mkuu.
Tuavhie wajinga sisi tuangalie wazee wenzetu😄
Hakika, uchezaji wao unakatisha tamaa kabisa. Azam waliamua kuwa'Expose' chanzo cha performance na physique zao.Azam ameirudisha heshima ya soka Tanzania. Jamaa wamevuliwa nguo na wakiketa mchezo ndio mwisho wao.