FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

Gamondi hatuangalii alifungwa na nani na nani?

Bali alifungwa mechi ngapi?
Muda wote aliokaa yanga alifungwa match 6 tu!

Kwahiyo sisi hatuangalii mechi hizo mbili pekee bali takwimu zake kiujumla zilikuwa nzuri sana.
Yanga nyie ni ndumila kuwili sana . Mbona nyie ndio mlikuwa mnapika majungu kuwa Gamondi hafai aondolewe, na alipoondolewa mkashangilia.

Kwanini wasahaulifu hivyo kama kunguru wa znz
 
Kwisha habari yetu
20240528_174032.jpg
 
In Haji's voice.....mnakumbuka aliwahi kuwasema nini kabla hajarukia upande wenu??? 😂
 
ETI YANGA KUVANUWE WAIYOOOOO……… 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃dobi dobiii
 
Wam
Yanga nyie ni ndumila kuwili sana . Mbona nyie ndio mlikuwa mnapika majungu kuwa Gamondi hafai aondolewe, na alipoondolewa mkashangilia.

Kwanini wasahaulifu hivyo kama kunguru wa znz
Wamepigwa tulichoka na mbwembwe zao..hahaha
 
Back
Top Bottom