TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Yanga bingwaaYanga 3 - Mc alger 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga bingwaaYanga 3 - Mc alger 0
Tusikalili kilichotolea kwao basi kitatokea kwa Yanga kwa kifupi Yanga anamlima mrefu wa kuupanda. Ukizingatia kocha ni mpya,nae anaintroduce mifumo yake naiona nafasi finyu sana kwa Yanga.Nafasi bado ipo.
Simba aliwahi kufungwa mechi mbili mfululizo kwenye hatua ya makundi Cacl (Alifungwa na Horoya ugenini 1-0 Kisha akapigwa 3-0 na Raja Casablanca hapa Dar) ila mwishowe akatinga Roho fainali.
"A drowning man is a drowning man can't learn to swim" ndicho kinacho ikumba yanga hii..Mtk yako
Usiifananishe Simba ya Kimataifa na vitu vya hovyohovyo.Nafasi bado ipo.
Simba aliwahi kufungwa mechi mbili mfululizo kwenye hatua ya makundi Cacl (Alifungwa na Horoya ugenini 1-0 Kisha akapigwa 3-0 na Raja Casablanca hapa Dar) ila mwishowe akatinga Roho fainali.
Tulicheza final hapo mashabiki full house tukashinda
Kwani sasa Gamondi alikuwa ni kiongozi?Shida ipo kwa uongozi niamini mimi mkuu
Gamondi hii game alikuwa hafungwi
FallacyNafasi bado ipo.
Simba aliwahi kufungwa mechi mbili mfululizo kwenye hatua ya makundi Cacl (Alifungwa na Horoya ugenini 1-0 Kisha akapigwa 3-0 na Raja Casablanca hapa Dar) ila mwishowe akatinga Roho fainali.
akiachia ngazi hali itakuwa mbaya sana zaidi ya hii. Abaki ila asiwe anafanya maamuzi magumu magumu kwa kukurupuka, yeye sio Yanga pekee, awe anashirikisha watu kwenye masuala mazito.Hersi aombe radhi au aachie ngazi, haya yote kayataka yeye.
" Yanga waje ..." ~ Magoma 2024
Mnarudia mlioyafanya kwa kocha wenuMuda sahihi wa Eng Hersi kutupisha maana kibuli kimeanza kumjaaa atuachie timu yet
Amekuwa kibuli ajui Yanga wamepaita wengi harafu anasajili wachezaji ovyo anawavunjia mikataba tunadaiwaMnarudia mlioyafanya kwa kocha wenu