Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I see ww kweli footballer uliyajuaSina imani, sina matumaini. Lakini ndio timu yangu, sina budi kuitakia ushindi nisiojua tutaupata vipi!
Mungu atusaidie.
Hongereni.Yanga 3 - Mc alger 0
Jose msema kweli sijamfata leo hata kwa simba anawambia trueMnafiki mmoja kwenye 1&2
20 perMchezaji Mudathir kafanana na 20%.
Umfunge Nani wewe ?
Bado wewe LeoGongo wazi biashara yake inaishia makundi
Mkuu simba anafuzu,ana point 3 tayari so atadunduliza tuBado wewe Leo
Ngoja tuone leoMkuu simba anafuzu,ana point 3 tayari so atadunduliza tu
Ngoja tuone, draw ni faida sn kwa simba,anakuwa na 4.Hapo zinatakiwa 5 ambazo kimahesabu atazipataNgoja tuone leo
Ikitokea kafungwaNgoja tuone, draw ni faida sn kwa simba,anakuwa na 4.Hapo zinatakiwa 5 ambazo kimahesabu atazipata
Mazingira yanakuwa magumu, ingawa point 3 zinamlinda.Haya mashindano point 9 umefuzu.Sasa anazo 3 bado 6.Aina ya kundi anaweza pata hizo 6Ikitokea kafungwa
Mkiwa na Mayele. Sio huyo Dube na Chama.Tulicheza final hapo mashabiki full house tukashinda
😀😃Wapate nakala zao
Hujaibiwa simu kibanda umiza?Au umekuwa mjanja?😀😃Wapate nakala zao