Timu yetu ya Yanga sc ni moja ya timu za hovyo katika haya mambo ya mipira humu nchini
Kuanzia sisi mashabiki wa Yanga sc,wachezaji pamoja na viongozi wetu bogus tulilewa sifa za kijinga
*Eng:hersi saidi ,ni kiongozi kajanja , kichwa Maji na mwenye mihemko ya kisomali kama wanamgambo wa al-shabab.
Unamfukuza Gamond af unamuacha mchezaji mpiga nyeto kama Aziz ki?timu unataka ichukue ubingwa kiungo wa kati Duke Abuya mtu Kila pasi anatoa nje au kurudisha mpira nyuma, mchezaji anakimbia utafikiri mbuzi anaekojoa.
Nakuuliza wew injinia wa magodoro,mjaluo tangu lini akacheza mpira?
Mchezaji kama Kibabage ataipeleka timu wapi?, mchezaji mbilikimo kama ndama ,anakimbia hovyo hovyo kama muumuni wa Mwamposa mwenye pepo afu unataka uchukue ubingwa wa Afrika .?hii ni maajabu!
Aziz ki ni takataka kabisa, Duke Abuya ni utumbo kabisa , Mudathir Yahya , Musonda ,Mwamnyeto ,Kibabage na kile kichungaji feki kipiga nyeto Maxi Nzengeli wote ni takatakaa
Eng:Hersi wewe ni kiongozi
,usie na maono na mwizi .Siku zako ndani ya Yanga sc zinahesabika