FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

Okrah anawekwa chini eneo Karibu na box

Inapigwa kulee free kick lakini Simba wanapoteza mpira
 
Okrah yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kupata tatizo la msuli
 
Muda wa mechi ni saa 16:00 na tayari vikosi vyote vimefika uwanjani

Upande wa Simba wale wachezaji waliokosekana mechi za nyuma kwasababu ya kukosa fitness iliyosababishwa na kuuguza majeraha ya muda mrefu, hatimaye leo wameanza.

View attachment 2507320

Kasoro General Phiri ndio sijamuona hapo
Uwanja wa mkapa ama unatumika vinaya au haupati huduma,umekuwa ovyo.Ilitakiwa Kila baada ya mechi upate maji lakini Hilo halifanyiki.Utunzaji kwetu ni zero kabisa
 
15' Ameingia Kyombo badala ya Okrah baada kupata rabsha
 
Bora hii statement ungeitumia katika mtindo wa swali.

Ni lini ulisikia Bwana mdogo Mwanuke ana ugomvi na Kapombe?

Huna taarifa kamili, uliza.
Kama unataarifa kamili, Report.

I hate to be rude... au hata taarifa pia unaokota okota kama matunda? Muokota Matunda. Asking for a friend[emoji23]

Kwani wapi kamtaja KAPOMBE mkuu???
 
Mbrazil amefanya kosa kubwa sana kuja kufundisha timu kama simba. Maana kuna uwezekano mkubwa wa kujichafulia tu CV yake. Bora angebakia zake tu Vipers.
 
Hii mechi Simba wanataka kuwapaisha Alhilal? Maaana si kwa kikosi hiki
 
Free Kick kuelekea Simba inapigwa kulee lakini golikipa Beno anadaka shutii kali lile

Ilikuwa hatari sana..!
 
Back
Top Bottom