ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Kifupi Hii Mechi Inatuonesha Kwa Kiwango Gani simba Bado Hatujajiandaa kimataifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu ilisajili wachezaji wangapiKwa nini kikosi cha majeruhi & wakaa benchi? Kwa manufaa gani?
Kwani mmepanga kikosi cha majimaji? Si wachezaji wenu hao mlitakiwa msajili wachezaji 30 na miongoni mwao ni hao wanaocheza leo unataka kutuambiaje sasaHii mechi Simba wanataka kuwapaisha Alhilal? Maaana si kwa kikosi hiki
Huyu Okrah ni liability ndani ya Simha Sc.15' Ameingia Kyombo badala ya Okrah baada kupata rabsha
Walikua majeruhi hawana staminaKwani mmepanga kikosi cha majimaji? Si wachezaji wenu hao mlitakiwa msajili wachezaji 30 na miongoni mwao ni hao wanaocheza leo unataka kutuambiaje sasa
Wewe uambiwe kama nani duniani hapa?Kwani mmepanga kikosi cha majimaji? Si wachezaji wenu hao mlitakiwa msajili wachezaji 30 na miongoni mwao ni hao wanaocheza leo unataka kutuambiaje sasa
Tatizo lenu mnapenda kila mtu awe na mtazamo kama ule wa kwenu.Jitahidi walau kidogo kuandika vitu vyenye Afya.
Tangu agombane na Dejan mpaka sasa sijaona ukali wake.Huyu Okrah ni liability ndani ya Simha Sc.
Acha majembe yapumzike. Ili watumishi hewa wajulikaneHii mechi Simba wanataka kuwapaisha Alhilal? Maaana si kwa kikosi hiki
Kwani hiko ni kikosi cha timu gani? Si ni Simba hao?Hii mechi Simba wanataka kuwapaisha Alhilal? Maaana si kwa kikosi hiki
Anakuwa kama mapepo yanayolipuka wakati wa ibada.Jitahidi walau kidogo kuandika vitu vyenye Afya.