Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki