FT: Mechi ya kujipima nguvu Simba 1-1 Zira

FT: Mechi ya kujipima nguvu Simba 1-1 Zira

Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
 
Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Nimekisearch kitimu hata hakipo google 😂😂.
 
Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Hujui kitu ndugu endelea kufatilia mechi za humu Africa tu.
timu za Arzbeijan Zira f.c,Kapaz f.c huwa zinacheza michuano ya Europe.
 
Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Unalinganisha Monastirienne na timu inacheza Europa conference league? Europa league? Be serious
 
Dah! Maelezo ni marefu mpaka basi. Yaani ni tofauti kabisa na wale wanaocheza na timu kama Kaizer Chiefs, Esperance, Us Monastir, nk. Anyway, kupanga ni kuchagua.
Mmezidi gubu bana dah!😅😂

Lazima maelezo yawe marefu ili muelewe,msikalili Kaizer timu zipo nyingi Duniani,msitutishe bana😂😅
 
Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Shida kubwa shabiki wa yanga lazima mjitoe ufahamu ndio maan mliambiwa mmejaza mavi kwenye chupi zenu
 
Hujui kitu ndugu endelea kufatilia mechi za humu Africa tu.
timu za Arzbeijan Zira f.c,Kapaz f.c huwa zinacheza michuano ya Europe.
Nchi inayotoka, FIFA ranking ni 121 (June 2023).
Hata mkoa wa Ruvuma ungekua ni nchi iliyopo Ulaya, timu ya Majimaji ingeweza kushiriki UEFA Champion League let alone Europa League.
 
Nimechukia hawajaweka lineup tujue nan kacheza nan hajacheza
Screenshot_20230724-163718~2.png
 
Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu wanacheza na timu zinazojielewa nyie mnatafuta vitimu vya ovyo ovyo, angalia azam kakiwasha na Esperance de tunis, Al hilal, Us monastries, Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Kaizer chief hawaijui yanga iliyoanzishwa 1935.... what a shame
 
Hujui kitu ndugu endelea kufatilia mechi za humu Africa tu.
timu za Arzbeijan Zira f.c,Kapaz f.c huwa zinacheza michuano ya Europe.
Quality ya hizi timu zetu tuzitegemee kwenye msimu ukishaanza.

Mengine haya ni propaganda tu za mpira.

Mwaka jana Yanga walikuwa avic wakijipima na timu za mchangani na mnyama alikua Esmaily misri.

In the end quality won.

Tupunguze mihemko na cheap popularity, tusubirie results
 
Quality ya hizi timu zetu tuzitegemee kwenye msimu ukishaanza.

Mengine haya ni propaganda tu za mpira.

Mwaka jana Yanga walikuwa avic wakijipima na timu za mchangani na mnyama alikua Esmaily misri.

In the end quality won.

Tupunguze mihemko na cheap popularity, tusubirie results
Mwaka jana Simba aikua mbaya,kimataifa Simba wamepanda juu zaidi,michuano ya ndani kilichoikosesha ubingwa Simba ni kuandamwa na majeruhi kwa wachezaji wake muhimu.

Alafu sio kila anachofanya Yanga na Simba lazima afanye,iyo ni mehemmko yako wewe binafsi.
 
Back
Top Bottom