vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Kwa vyovyote vile hiyo timu ya Zira haizidi ubora timu ziizopo kwenye 16 bora za CAF rankingPole najua mmeumia Simba kujipima nguvu na walio juu zaidi yetu ndio maana amuishi kukandia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vyovyote vile hiyo timu ya Zira haizidi ubora timu ziizopo kwenye 16 bora za CAF rankingPole najua mmeumia Simba kujipima nguvu na walio juu zaidi yetu ndio maana amuishi kukandia.
Basi bana watani ili mpate usingizi leo msiwe na stress wewe Tate Mkuu na Dr Matola PhD leo Simba kacheza na Mbagala Market ya Ulaya.Kwa vyovyote vile hiyo timu ya Zira haizidi ubora timu ziizopo kwenye 16 bora za CAF ranking
Kaizer Chiefs haitashiriki michuano yoyote ya Klabu za Afrika. Ilikosa hata nafasi ya nne ligi ya South AfricaIyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu ... Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Aliyeko nafasi ya 5 south Africa ni sawa na aliyebeba ubingwa ligi ya Tanzania litambue ilo, ndiyo maana wakati anawachakaza goli 4 bila pale FNB Stadium alikuwa nafasi ya 10 uko lakini alionyesha kiwango bora kuwazidiKaizer Chiefs haitashiriki michuano yoyote ya Klabu za Afrika. Ilikosa hata nafasi ya nne ligi ya South Africa
Hukuelewa maelezo umejibu tofauti, jamaa anataka viwango vya wachezaji wa simba ambao ni wageni(usajili mpya)Msimu ulioisha walicheza UEFA conference league
Duuu, umesahau kuna timu ilijipima na mbuni fc?Zira FK ya Azerbaijan ni timu ya kujipima nayo nguvu?
Litambue wewe, CAF hawalitambui. Wanaitambua Simba tu 🤣 🤣 🤣Aliyeko nafasi ya 5 south Africa ni sawa na aliyebeba ubingwa ligi ya Tanzania litambue ilo,
Waliojipima na mbuni wakabeba na ubingwa kisha wakacheza fainali ya kombe la shirikisho afrikaDuuu, umesahau kuna timu ilijipima na mbuni fc?
Sasa inakuwaje mnawadharau hawa wanaocheza na mbuni wa ulaya?Waliojipima na mbuni wakabeba na ubingwa kisha wakacheza fainali ya kombe la shirikisho afrika
Kama ambavyo na sisi hatuyaonagi mema yao.Basi bana watani ili mpate usingizi leo msiwe na stress wewe Tate Mkuu na Dr Matola PhD leo Simba kacheza na Mbagala Market ya Ulaya.
acha iwe ivyo maana watani kwenu akuna jema la Simba.😝😋
Hapana sio kweli,Yanga wana mema mengi mimi kama shabiki wa Simba nayajua.kulisha mifugo ya watu kwenye ofisi za club ni wema pia.Kama ambavyo na sisi hatuyaonagi mema yao.
Ng'ombe wa mayele alichinjwa, mbona simwoni?Hapana sio kweli,Yanga wana mema mengi mimi kama shabiki wa Simba nayajua.kulisha mifugo ya watu kwenye ofisi za club ni wema pia.View attachment 2699178
Yanga wanahuruma nyie ni basi tu.
quality won 2 nilQuality ya hizi timu zetu tuzitegemee kwenye msimu ukishaanza.
Mengine haya ni propaganda tu za mpira.
Mwaka jana Yanga walikuwa avic wakijipima na timu za mchangani na mnyama alikua Esmaily misri.
In the end quality won.
Tupunguze mihemko na cheap popularity, tusubirie results
timu iliihitaji kutoa kafara akachinjwa Kimyakimya ndio kids Cha mayele kuchukua na kukataa kuendelea kuwepo maana hawajamlipa.Ng'ombe wa mayele alichinjwa, mbona simwoni?
Ha ha ha licha ya kumpenda akawasusa kabisaaa.Chura noma kameza ngombe.Nimetaja kihaya.timu iliihitaji kutoa kafara akachinjwa Kimyakimya ndio kids Cha mayele kuchukua na kukataa kuendelea kuwepo maana hawajamlipa.