FT: Mechi ya kujipima nguvu Simba 1-1 Zira

Iyo timu waliyocheza nayo mbona ata aieleweki ni ya wapi, wenzenu ... Yanga kakiwasha na kaizer chiefs nyie mnaokota timu za wauza matikiti ndio mnafanya nao mechi za kirafiki
Kaizer Chiefs haitashiriki michuano yoyote ya Klabu za Afrika. Ilikosa hata nafasi ya nne ligi ya South Africa
 
Zira FK ya Azerbaijan ni timu ya kujipima nayo nguvu?
 
Kaizer Chiefs haitashiriki michuano yoyote ya Klabu za Afrika. Ilikosa hata nafasi ya nne ligi ya South Africa
Aliyeko nafasi ya 5 south Africa ni sawa na aliyebeba ubingwa ligi ya Tanzania litambue ilo, ndiyo maana wakati anawachakaza goli 4 bila pale FNB Stadium alikuwa nafasi ya 10 uko lakini alionyesha kiwango bora kuwazidi
 
quality won 2 nil
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…