Leo kimoko tuu chaliiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bocco wa nn hapaa? Tutolee nuksi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo kimoko tuu chaliiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bocco wa nn hapaa? Tutolee nuksi.
Hii team inakosa playmaker huko mbele, mwenye jukumu hilo nae ni mbinafsi anaetaka kufunga yeye.Simba jaman utadhani hakuna forwards, khaaah
Mbna mabwakuu, Lol
Sasa saidoo mwenyewee akiguswaa anajiangusha hovyoo, na kufunga hawezii, anaboaaa sanaaaa.Hii team inakosa playmaker huko mbele, mwenye jukumu hilo nae ni mbinafsi anaetaka kufunga yeye.
Kwa Simba hiiii
MAVIIIII
#YANGA_BINGWA
TUJIKUMBUSHE KIDOGOWee emu tulia, mfyuuuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo kimoko tuu chaliiii
Leo refa sijui atawabeba na mbeleko gani 😂Na 15 za nyongeza kama kawaida
Kwa Simba hiiii
MAVIIIII
#YANGA_BINGWA
Eeeh Akandwanao kashika mtwangioTujikumbushe..
FT
Uto 1 - APR 3
Kwa Simba hiiii
MAVIIIII
#YANGA_BINGWA
🤣TUJIKUMBUSHE KIDOGO
MAKOLO 0 .......1 MLANDEGE
Leo lefa kala pesa ya makolo ....na bdo kawakataa[emoji23][emoji23][emoji23]
Soma ubao 😂Tujikumbushe..
FT
Kinyesi FC 1 - APR 3