Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Tunaenda kiMungu Mungu tu.Hii timu yetu ni ovyo kabisa! Hakuna mechi wamecheza wakaonyesha kama kuna mipango ya magoli zaidi ni kubahatisha tu!
Toka jamhuri watutoe kamasi kwa ushindi wa goli moja tena tukiwa full squad,ndio niliona hatuna timu ya ushindani
Refa maliza mpira wengine kwetu mbaliUto watakimbia humu muda si mrefu
Refa Leo kawakandia makolo....na pesa yao amekula
Goli linarudi hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie wachezaji wa simba hawaoni lango au? Yaan had nachekaaaa.
🤣 Wewe akaunti yako hii hii au ime-hackiwaSimba inachezea jina tu ila timu hakuna
Tuanze Kukimbia uzi tu... Hamna Timu UmoWakuu mbona sielewi?
tumekata moto ama....
Hata mimi nilidhani watakuja na mbinu tofauti!! Ila mpira ni ule ule tu! Bora Simba Queens kuliko hawa wazeeIla wachezaji wa Simba sijui Wana akili gani. Hawabadiliki. Nilidhani wangekuja na approach tofauti na ile mechi ya Singida ila ndio hivyo, hawabadiliki. Inabidi Benchika aondoke awaache. Watamdhalilisha tu.
Aibuu yaooo 5imba🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo refa hatomaliza mpira au wafie uwanjani hadi Simba ashinde 🤣
TUJIKUMBUSHE KIDOGOWakuu mbona sielewi?
tumekata moto ama....
Mmmmh thubutuuuuu.Goli linarudi hili
Mpira ni mchezo wa wazi🤣 Wewe akaunti yako hii hii au ime-hackiwa
Mmekata upepo sio moto 🤣Wakuu mbona sielewi?
tumekata moto ama....