Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii timu ni mbovu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha makasiriko mkuu kinyesi ndio timu gani mbona timu zinazocheza ni simba vs mlandege?Tujikumbushe..
FT
Kinyesi FC 1 - APR 3
Mungu kawapa laana dhuruma ni mbaya sanaNimeshangaa hilo leo muosha kaoshwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ishaisha. Kombe la mlandege, tumelikosa Mnyama.Huku umeisha dakika ya 94
Dakika za nyongeza hazijaisha zote na bado kulikuwa na upotevu mkubwa wa muda
Benchika hii timu sio ya hadhi yake kabisa. Anachafua CVSimba timu ya kijinga kweli. Benchika angeachana nayo.
Limebaki....Natamani Kombe libaki mlandegd
Shenzeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utachanika mkuu.....makolo hawachelew kuroga[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo na nimejaa teleee,Zombie la simba Cocastic njoooo hap
Poleni Sana ndio soccerKwa mara ya kwanza mpira umechezwa dakika 80
Hapana mkuu. Simba imefungwa kihalali.Kwa mara ya kwanza mpira umechezwa dakika 80
Hamna, Simba hii hii utashangaa inamkalisha mwarabu 2.Yeah! zilibaki sekunde chache sana.
Ila timu yetu bado kidogo aisee