FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati 4-1.

Sasa wanageukia ligi kuu kuwakaribisha Mtibwa Sugar, WakataMiwa kunako uwanja wa manungu mkoani morogoro

Mchezo huu wa leo unategemewa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika zote 90

tusubiri mwisho wa mchezo..! Usikose Ukaambiwa na kumbuka kabumbu hili murua litakuwa Mubashara Azam Sports1 View attachment 2719718
kuanzia saa 10: 00 jioni.

IMG_4231.png

Kikosi hiki hapa,All the best mnyama
 
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati 4-1.

Sasa wanageukia ligi kuu kuwakaribisha Mtibwa Sugar, WakataMiwa kunako uwanja wa manungu mkoani morogoro

Mchezo huu wa leo unategemewa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika zote 90

tusubiri mwisho wa mchezo..! Usikose Ukaambiwa na kumbuka kabumbu hili murua litakuwa Mubashara Azam Sports1 View attachment 2719718
kuanzia saa 10: 00 jioni.
4-1 ya wapi wewe acha uongo
 
Huyu Tshabalala na Kapombe kila siku wao tu, Kocha awape nafasi pia Israel Mwenda na Jimmyson Mwanuke.

# Simba , Nguvu moja.
 
At least msimu huu tunaweza kusema Manungu kuna uwanja wa mpira
 
Simba inapata kona ya kwanza dakika ya 1

Chama nyuma ya mpira

Chama anapiga cross mlinda mlango anakuwa wa kwanza kuudaka
 
Lalalalaaa Mtibwa wanakosa bao hapa

Mpira unatoka unakuwa kona.

Kona inapigwa inazuiliwa.

Mpira unaendelea
 
Camera za azam jau sana, mpira ukiwa upande wa pili kule unaona rangi tu.
 
Huyu Tshabalala na Kapombe kila siku wao tu, Kocha awape nafasi pia Israel Mwenda na Jimmyson Mwanuke.
Akimpa nafasi Bocco mnapiga kelele kuwa ampe nafasi Phiri
 
Robertinho bado anaamini kwenye mipira mirefu
 
Back
Top Bottom