FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

9'

Gooooooooaooooaooooaooooooool


Onanaaaa anapachika bao la pili hapa baada ya shuti la Baleke kuzuiliwa na mlinda mlango kisha mpira kumpata Onana
 
Naona kuna battle ya kutafuta hattrick kati ya Onana na Baleke
 
Mkeka wangu niliouweka:

Timu ya kwanza kupata goli: SIMBA
Baleke kufunga goli: NDIYO
Mpira wa Penati: NDIYO

Kwa hiyo bado item moja ya Mpira wa Penati nivute mpunga

1692277923216.png
 
Ila Simba bado haipigi lile soka ambalo tunataka kuliona
 
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati 4-1.

Sasa wanageukia ligi kuu kuwakaribisha Mtibwa Sugar, WakataMiwa kunako uwanja wa manungu mkoani morogoro

Mchezo huu wa leo unategemewa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika zote 90

tusubiri mwisho wa mchezo..! Usikose Ukaambiwa na kumbuka kabumbu hili murua litakuwa Mubashara Azam Sports1 View attachment 2719718
kuanzia saa 10: 00 jioni.
Ngapi huko jamani?
 
16'

Simba inapata kona

Nyuma ya mpira ni Chama

Inapigwa cross kipa anatoa na kusababisha kona nyingine

Chama anapiga mpira unaondoshwa kwenye eneo la harari
 
Back
Top Bottom