FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Simba l Ligi Kuu ya NBC l Uwanja wa Manungu, Morogoro l Agosti 17, 2023

Hawa Mtibwa kumbukumbu zinaniambia hawajafanya usajili wowote. Kwa hiyo wale wa mwaka jana ndio hawahawa wa msimu huu tena kuna uwezekano wa msimu uliopita wameondoka baadhi. Siioni tofauti na kile kilichokuwa kinaendelea jana Azam Complex.
 
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati 4-1.

Sasa wanageukia ligi kuu kuwakaribisha Mtibwa Sugar, WakataMiwa kunako uwanja wa manungu mkoani morogoro

Mchezo huu wa leo unategemewa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika zote 90

tusubiri mwisho wa mchezo..! Usikose Ukaambiwa na kumbuka kabumbu hili murua litakuwa Mubashara Azam Sports1 View attachment 2719718
kuanzia saa 10: 00 jioni.
Viwili tayari.... Tobias Kifaru hoi
 
Bora angebaki Onyango tu. Huyu Malone anachomesha sana hata dhidi Dynamo alichomesha.
 
Goooooooooooal

Mtibwa wanarudisha bao la pili hapa baada ya kufanya counter attack
 
Back
Top Bottom