Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hawa Mtibwa kumbukumbu zinaniambia hawajafanya usajili wowote. Kwa hiyo wale wa mwaka jana ndio hawahawa wa msimu huu tena kuna uwezekano wa msimu uliopita wameondoka baadhi. Siioni tofauti na kile kilichokuwa kinaendelea jana Azam Complex.