Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Siba Guvu Boja,,by Boss kususasusa😂😅Siba
Guvu moya
By MO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siba Guvu Boja,,by Boss kususasusa😂😅Siba
Guvu moya
By MO
C alikua anavuka mstari hamn kitubpaleJamani huyu si ndio yule kipa wetu Ally Salum. [emoji1787][emoji1787]
kama mlishindwa kupata hata goli 1 kule ,kwa wazee wa misumali halisi mtawezea wapi nyie0 - 3 mnyama anashinda
Hakuwepo angekuwepo hilo goli lisingekuwepoVP ukuta wa jeriko leo haupo au upo sub
Kumbe tulimpa sifa zisizo zake eee? 😂😂C alikua anavuka mstari hamn kitubpale
Kasome ubao sasa. Mtibwa hatushindwi kituAaaa wapiii...mtasubiri sana...
Hahah sanaa, huwa nacheka pia kwa azam,Wabongo wengi ni ma haters, wakat Simba wanaongoza 2 bila Uzi ulikuwa page ya 62 eti Mtibwa wamerudisha ghafra imefika 102
Ikoje.Duu hii mechi baada ya goli la pili na TV nikazima.
Ndio huyuhuyu ambae yanga wameshindwa kumfunga ndani ya dk180Jamani huyu si ndio yule kipa wetu Ally Salum. 🤣🤣
Tatizizo sio kipa, Tatizo uyo Che fondo anacheza kwa spidi ya konokono, ananyang'anywa mpira watu wanajifungia tu. Ata mpira wa kwanza kabisa kama Mtibwa wangekua watulivu wangefunga goli.Jamani huyu si ndio yule kipa wetu Ally Salum. [emoji1787][emoji1787]
Inaenda 32Dakika ya ngapi sasa, wengine tupo mbali na tivii na redio...
Jikaze mwana lunyasi mwenzanguDuu hii mechi baada ya goli la pili na TV nikazima.