CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Madogo Hawa WA JF.
Kila TUKIWAAMBIA MATATIZO ya Simba Hawatuelewi.
1. Nilisitiza beki wa kati WA kumchallange Inonga na Malone wakiwa na ADHABU ,ugonjwa ama kiwango.
2. Nikasisitiza sana Simba kukosa kiungo mkabaji CDM 6 kama Bangala .
Viungo wote WA Simba ni BOX TO BOX. NO 8.
3. Nikashangazwa na usajili WA Mawinga Kumi.
TUTAELEWANA TARATIBU TARATIBU
Kila TUKIWAAMBIA MATATIZO ya Simba Hawatuelewi.
1. Nilisitiza beki wa kati WA kumchallange Inonga na Malone wakiwa na ADHABU ,ugonjwa ama kiwango.
2. Nikasisitiza sana Simba kukosa kiungo mkabaji CDM 6 kama Bangala .
Viungo wote WA Simba ni BOX TO BOX. NO 8.
3. Nikashangazwa na usajili WA Mawinga Kumi.
TUTAELEWANA TARATIBU TARATIBU