InawezekanaMatarajio ya kambi ya Uturuki yamekuwa tofauti na kinachoendelea…!!! Quality ya mpira katikati ya uwanja haiendani na matarajio ya wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InawezekanaMatarajio ya kambi ya Uturuki yamekuwa tofauti na kinachoendelea…!!! Quality ya mpira katikati ya uwanja haiendani na matarajio ya wengi
hongeraMimi nina furaha timu yangu inazidi kuimarika na rotation ya wachezaji inafanyika.
2-4 ni ushindi mzuri, timu itakaa sawa kadri ya mechi zinavyoendelea, washabiki wasioujua mpira ndiyo wapumbavu wanaolalamikia kocha.
Simba Nguvu moja[emoji881][emoji881][emoji123]
mmmmhMitandaoni si ndiyo kama hivi Sasa unatakaje
Ahaaa okMalizeni maneno yote sisi ndiyo tumeshaanza kukusanya points.
msikubali kusemewaCha kushangaza nyinyi ndio mnawasemea mashabiki wa simba
Kuruhusu goli 2 kwa Mtibwa ni jambo baya. Ilibidi tuwafunge 4-0 au walau 4-1 kama tulivyowafunga YangaContrary to other days, leo wenzetu wamekuwa wapole kama vile hawajacheza na kupata ushindi 'mnono'. Mitandaoni kumetulia sana
Ni ukomavu au mawazo?
Kuna team isiyofungwa? Km ndo hivyo kwann mpira unachezwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuruhusu goli 2 kwa Mtibwa ni jambo baya. Ilibidi tuwafunge 4-0 au walau 4-1 kama tulivyowafunga Yanga
Ndo yeyeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani huyu si ndio yule kipa wetu Ally Salum. [emoji1787][emoji1787]
Poleeeee mtaniiiiii!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani 5imba wenzangu tupunguzeni jazba basi. [emoji1787]
Uzi ukisharuka kwenye server za Jf hauna mwenyewe huo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waleteeeeeeeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapiiiii vyuraaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waelezeee dearNa sisi tungepewa penalty zetu mbili..tungetoka droo...penalty zingekua palepale
Bado hamjasemaaa, mtasema yoteeeeHii ni Simba ya hovyo kuliko zote katika miaka mitano iliyopita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumewafunga Mtibwa ila kuna baadhi ya Vyura wamelouwaaaaaaaaa
Hayo mawili mmewaachia tu kutokana na maagizo ya mwanga wenuKuruhusu goli 2 kwa Mtibwa ni jambo baya. Ilibidi tuwafunge 4-0 au walau 4-1 kama tulivyowafunga Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasaKwenye mikeka yenu huko hamfanyi ujinga
Ila mkija hapa jukwaani mnajidai kuitakia Simba ifungwe.
Wakati kula yenu ipo miguuni mwa wachezaji wetu.
Teseka taratibuuuu, poleee wee.Mechi ya kwanza tu tayari mmesharuhusu goli 2. Tena kwa timu dhaifu ya Mtibwa.
Ni suala la muda tu. Mtafarakana