Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeBahasha zinatembea
Eeeh ni mwendo wa vibunda tuWacha wee
Ndio ukifanya mazoezi unakuwa fit kupigana ila husipofanya mazoezi halafu uende kwenye pambano utapigwa kama ngoma.So nikifanya mazoezi ya ngumi bila pambano lolote la ngumu nakuwa fiti kupigana dah
Shida ni nini mwamba?Ila wabongo nyoko sana! Asipofanya sab shida, ooh kocha afanyi sab, akifanya bado shida, ooh kocha anafanya sub nyingi.... duuh sjui mnataka nn
Ukiona Utopolo wanaanza malalamiko na visingizio jua kwamba maji yanaanza kuzidi unga. Part 2 itakuwa marefa na TFF ndio watalaumiwaEeeh ni mwendo wa vibunda tu
Sahihi kabisaWatu wang'ang'anizi sana. Yaani upatie fitness kwenye mechi ya kutafuta ushindi? Kama hafanyi vizuri mazoezini, acha aanzie benchi au asicheze kabisa. Kocha ndiye anakuwa na wachezaji muda mwingi, tumpe uhuru wa kuchagua kikosi
Labda huelewi unachoongea.So nikifanya mazoezi ya ngumi bila pambano lolote la ngumu nakuwa fiti kupigana dah
Yeah kama ilivyokua mwaka jana tuUkiona Utopolo wanaanza malalamiko na visingizio jua kwamba maji yanaanza kuzidi unga. Part 2 itakuwa marefa na TFF ndio watalaumiwa
Hatuna hiyo pesa mnayodhaniaEeeh ni mwendo wa vibunda tu
Ndio nanyi mtumie hiyo nguvuHata kama tutashinda ila ukweli utabakia pale pale simba inatumia zaidi nguvu kuliko maarifa kwenye kutafuta hadi kupata goal uwanjani
Hili watu hawataliongelea ila kwa wenzetu ni bonge la goli maana zimepigwa pasi mbili za vichwa na mfungaji naye kamalizia kwa kichwaHeader ya Kanoute kwa Baleke..Haeder ya Baleke kwa Ngouma..Header ya Ngouma nyavuni...ukinuna toa huo mwiko ulioukalia hapo nyuma
[emoji1787]Maza faka!
Huu Uzi umetawaliwa na mapovuMashujaa anawakalisha hao subiri waone labda wakimbilie penati na yule kipa wao wa kutoka nje ya mstari kabla penati haujapigwa anawaibia waamuzi
Kipa wa Makolo mwizi uwanjani anawaibia waamuzi anatoka kwenye mstari kabla ya Penati kupigwa jiziHuu Uzi umetawaliwa na mapovu
Naona huelewi yaishie hapo.Labda huelewi unachoongea.
Unaelewa maana ya Fitness?