BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Simba ya hovyo imeondoka na goli nne na pointi tatu?!
Hii ni Simba ya hovyo kuliko zote katika miaka mitano iliyopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Simba ya hovyo kuliko zote katika miaka mitano iliyopita
Hakuna mchezaji anatakiwa kupata dakika kwa hisani.Sasa bila kumpa hata dkk45 atapata wapi hyo fitness
Hujui kituHaupati Fitness kwa Kucheza mechi, Fitness unaipata mazoezini mkuu.....
Mechi ni Display ya ulichokifanya mazoezini.
Huyo ana bifu nae tuu...watajijua wenyewe..sisi tunataka ushindiHakuna mchezaji anatakiwa kupata dakika kwa hisani.
Afanye mazoezi vizuri amshawishi kocha, atapangwa tu.
Na sio kupangwa kwa kuwa mashabiki wanalia.
Bila shaka unamatatizo ya akili,Simba hii ikikutana na timu kama Singida BS au Mashujaa FC ,ukiachilia mbali Yanga watapata tabu sana.
Hakunaga kitu kama Hichi......Huyo ana bifu nae tuu...watajijua wenyewe..sisi tunataka ushindi
Sawa Chalii.....Hujui kitu
Mmewaonea tu na bahasha zenu za kakiTumewafunga Mtibwa ila kuna baadhi ya Vyura wamelouwaaaaaaaaa
Ila wabongo nyoko sana! Asipofanya sab shida, ooh kocha afanyi sab, akifanya bado shida, ooh kocha anafanya sub nyingi.... duuh sjui mnataka nnMimi naona Wachezaji wetu bado hawajakaa sawa.
Na hata Kocha wetu anaonekana ana Wasiwasi bado.
Mgunda sio mtu wa Sub nyingi namna hii.
By the way Tunataka kushinda.
Mashujaa anawakalisha hao subiri waone labda wakimbilie penati na yule kipa wao wa kutoka nje ya mstari kabla penati haujapigwa anawaibia waamuziSimba hii ikikutana na timu kama Singida BS au Mashujaa FC ,ukiachilia mbali Yanga watapata tabu sana.
Hiyo ni akili au matope?!Simba ya hovyo imeondoka na goli nne na pointi tatu?!
Hawajulikani wanataka niniIla wabongo nyoko sana! Asipofanya sab shida, ooh kocha afanyi sab, akifanya bado shida, ooh kocha anafanya sub nyingi.... duuh sjui mnataka nn
Hasira za nini...?Mashujaa anawakalisha hao subiri waone labda wakimbilie penati na yule kipa wao wa kutoka nje ya mstari kabla penati haujapigwa anawaibia waamuzi
Kipa katoka nje ya mstari mwizi kawaibia waamuzi
Bahati ipo kwa Simba Sc tu?Simba wanavyocheza ni kama vile wanabahatisha.Wanategemea zaidi bahati!
Watu wang'ang'anizi sana. Yaani upatie fitness kwenye mechi ya kutafuta ushindi? Kama hafanyi vizuri mazoezini, acha aanzie benchi au asicheze kabisa. Kocha ndiye anakuwa na wachezaji muda mwingi, tumpe uhuru wa kuchagua kikosiHaupati Fitness kwa Kucheza mechi, Fitness unaipata mazoezini mkuu.....
Mechi ni Display ya ulichokifanya mazoezini.
Msimbatize kipa wetuSi huyo salum wao...waliamua kumpa jina la mdaka mishale
So nikifanya mazoezi ya ngumi bila pambano lolote la ngumu nakuwa fiti kupigana dahHaupati Fitness kwa Kucheza mechi, Fitness unaipata mazoezini mkuu.....
Mechi ni Display ya ulichokifanya mazoezini.