FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Xabi Aloso afanya yake Ujerumani

Screenshot_2024-11-30-19-23-59-24.png
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-30-19-23-59-24.png
    Screenshot_2024-11-30-19-23-59-24.png
    167.1 KB · Views: 1
Huko benchi aliko Mpumelelo atakuwa kila anapomuona Musonda anakosa mabao anacheka

Maana yake inavyoonekana kipindi Musonda yupo benchi na Mpumelelo yumo ndani alikuwa anamuona Mpumelelo kama mzembe.

Sasa ni muda wa kushare hard feelings

Hiyo ndio maana halisi ya kuni ya akiba kuicheka kuni nyenziee inayoungua.

Musonda alikuwa ni kuni ya Akiba, soon zile nyimbo za Mpumelelo zitahamia kwake.
 
Anayeelewa huyu kocha wa Yanga anafundisha nini naomba anieleweshe. Huyu mzee nahisi kipindi cha pili ndio anaenda kuharibu kabisa.
vibertz na Tate Mkuu hawa ndio wana majibu maana waliunga mkono Gamondi kufukuzwa.

Huo mkono mliotumia kuunga hoja mawazo mbovu ya Hersi kumtimua Gamondi ni heri mngeutumia kuungia mboga ona sasa mna aibika.
 
Back
Top Bottom