Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
Wasiwasi ndo akili na lisemwalo lipo kama halipo laja, ukiona Moshi ujue na moto upo, dalili ya mvua mawingu.Ina mashiko ila zinabaki kuwa porojo kwa sababu hakuna aliye na uthibitisho kwamba hayo mambo yanafanyika. Zimebaki kauli za uswahili kama hiyo nikulishe halafu uniletee jeuri